1Kwa mwimbishaji, auimbishe kama wimbo wa kwamba: Maua ya porini hushuhudia. Wimbo wa Asafu
5Bwana Mungu Mwenye vikosi, utakasirika mpaka lini, ijapo wakulalamikie walio ukoo wako?
6Umewalisha mikate iwalizayo, nayo machozi yao yakawa vinywaji, ulivyowanywesha kwa vikombe.
9Uko mzabibu, ulioung'oa kule Misri; ukafukuza wamizimu, ukaupanda mahali pao.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.