1Kwa hiyo na tuyaache mafundisho ya kwanza ya Kristo, tuendelee kuwafundisha yaliyo ya kutimiza! Tusiweke tena msingi na kuwafundisha kwamba: Juteni mkiyaacha matendo yawauayo! Kisha mtegemeeni Mungu!
2Tuyaache nayo mafundisho ya ubatizo na ya kubandikiwa mikono na ya ufufuko wa wafu na ya hukumu ya kale na kale!
3Hayo tutayafuata, Mungu atakapotupa ruhusa.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.