Mateo 20 - Swahili Roehl Bible 1937

Vibarua katika shamba.

1*Ufalme wa mbingu umefanana na mtu mwenye numba aliyetoka mapema kutafuta wakulima, wamlimie mizabibu yake.Mwana wa mtu atateswa.(17-19: Mar. 10:32-34; Luk. 18:31-33.)

17Yesu alipotaka kupanda kwenda Yerusalemu akawachukua wale kumi na wawili, wawe peke yao. Akawaambia njiani:

18Tazameni tunapanda kwenda Yerusalemu. Huko Mwana wa mtu atatiwa mikononi mwao watambikaji wakuu na waandishi, nao watamhukumu, auawe;Vipofu wawili.(29-34: Mar. 10:46-52; Luk. 18:35-43.)

29Walipokuwa wakotoka Yeriko, likamfuata kundi la watu wengi.

30Ndipo, vipofu wawili waliokaa njani kando waliposikia, ya kuwa ni Yesu anayepita, wakapaza sauti wakisema: Bwana, mwana wa Dawidi, tuhurumie!

31Lakini watu wakawakaripia, wanyamaze. Lakini wao wakazidi kupaza sauti wakisema: Bwana, mwana wa Dawidi, tuhurumie!

32Ndipo, Yesu aliposimama, akawaita, akasema: Mwataka, niwafanyie nini?

33Wakamwambia: Bwana, twataka, macho yetu yafumbuke!

34Yesu akawaonea uchungu, akawagusa macho yao. Mara wakapata kuona, wakamfuata.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help