1Aliye mnyonge wa kumtegemea Bwana mpokeeni pasipo kubishana naye mawazo ya moyo!Msimkwaze ndugu!
13Basi, tusiumbuane wenyewe tena, ila mjue, ya kuwa ni kuumbua, mtu akimtegea ndugu yake, ajigonge au ajikwae!
14Nimeyajua, nikayashika kabisa moyoni kwa kuwa na Bwana Yesu, ya kuwa: hakuna kilicho chenye mwiko hivyo, kilivyo; lakini mtu akikiwazia kuwa chenye mwiko, basi, kwake yeye ni chenye mwiko.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.