Yesaya 48 - Swahili Roehl Bible 1937

Waisiraeli wanaitwa kuja kumtii Mungu.

1Yasikieni haya, ninyi wa mlango wa Yakobo! Mnajiita kwa jina la Isiraeli, mlitoka viunoni mwa Yuda, mnaapa na kulitaja Jina la Bwana, naye Mungu wa Isiraeli mnamtukuza; lakini si kwa kweli wala kwa wongofu.

12Nisikilize, Yakobo, nawe Isiraeli, niliyekuita! Mimi ndiye! Mimi ni wa kwanza, tena mimi ni wa mwisho.

22Lakini hakuna utengemano kwo wasiomcha Mungu; ndivyo, Bwana anavyosema.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help