1Hii nayo ni mifano ya Salomo, waliyoikusanya watu wa Hizikia, mfalme wa Yuda.
2Utukufu wake Mungu ni kufunika jambo,
utukufu wao wafalme ni kufunua jambo.
3Kama mbingu zilivyoko juu, kama nchi ilivyoko nako kuzimuni,
ndivyo, mioyo ya wafalme inavyotushinda, isichunguzike.
4Mtu akiondoa mitapo katika fedha
hutengeneza chombo kinachomfaa mwenye kuyeyusha.
5Mtu akimwondoa asiyemcha Mungu machoni pake mfalme,
kiti chake cha kifalme hupata nguvu kwa wongofu.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.