1Kama Bwana asingalikuwa nasi, Waisiraeli na waseme hivyo:
2Kama Bwana asingalikuwa nasi, watu walipotuinukia,
3wangalitumeza, tukingali wazima bado; ilikuwa hapo, moto wa makali yao ulipotuunguza.
4Maji mengi yangalitudidimiza hapo, mito ilipopita juu yetu,
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.