Yosua 1 - Swahili Roehl Bible 1937

Yosua anatiwa nguvu na Mungu.

1Mose, mtumishi wa Bwana, alipokwisha kufa, ndipo, Bwana alipomwambia Yosua, mwana wa Nuni, mtumishi wake Mose, kwamba:

2Mtumishi wangu Mose amekwisha kufa; sasa ondoka, uuvuke huu Yordani, wewe na watu wote wa ukoo huu, mwiingie nchi hiyo, mimi nitakayowapa wana wa Isiraeli.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help