4 Mose 10 - Swahili Roehl Bible 1937

Matarumbeta mawili ya fedha.

1Bwana akamwambia Mose kwamba:Waisiraeli wanaondoka nyikani kwa Sinai.

11Ikawa siku ya ishirini ya mwezi wa pili katika mwaka wa pili, ndipo, lile wingu lilipoondoka penye Kao la Ushahidi.

12Nao wana wa isiraeli wakaondoka kwenda safari yao na kutoka nyikani kwa Sinai, nalo wingu likatua tena katika nyika ya Parani.

13Kama Bwana alivyoviagiza kinywani mwa Mose, ndivyo, wa kwanza walivyoondoka.

35Kila mara Sanduku lilipoondoka, Mose akasema: Inuka, Bwana, adui zako watawanyike, nao wachukivu wako waukimbie uso wako!Sh. 68:2; 132:8.

36Tena lilipotua husema: Rudi, Bwana, kwenye maelfu na maelfu ya Isiraeli!

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help