Mashangilio 118 - Swahili Roehl Bible 1937

Shangwe zao waliookoka.

1Mshukuruni Bwana, ya kuwa ni mwema! Ya kuwa upole wake ni wa kale na kale!

19Nifungulieni malango ya kuingia kwake wongofu, niingie humo, nimshukuru Bwana!

20Hili ndilo lango la kuingia mwake Bwana; waongofu ndio watakaoliingia.

21Ninakushukuru, kwa kuwa uliniitikia, maana ulinijia, ukawa mwokozi wangu.

27Bwana ni Mungu atuangazaye. Jipambieni sikukuu na kushika makuti, mje kufika kwenye pembe za meza iliyo ya kutambikia!

28Mungu wangu ni wewe, ninakushukuru; Mungu wangu, ninakutukuza.

29Mshukuruni Bwana, ya kuwa ni mwema! ya kuwa upole wake ni wa kale na kale!

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help