Mateo 12 - Swahili Roehl Bible 1937

Kukonyoa masuke.(1-8: Mar. 2:23-28; Luk. 6:1-5.)

1Siku zile Yesu alipita katika mashamba siku ya mapumziko; nao wanafunzi wake walipoona njaa wakaanza kukonyoa masuke, wakala.Utete uliopondeka.(15-21: Mar. 3:7-12.)

15Yesu alipoyatambua akaondoka kule.

18Tazameni, huyu ndiye mtoto wangu, niliyemchagua;

ni mpendwa wangu, ambaye Roho yangu inapendezwa naye.

Nitamtia Roho yangu, awatangazie wamizimu,

ya kwamba hukumu yao iko.

Mama na ndugu.(46-50: Mar. 3:31-35; Luk. 8:19-21.)

46*Alipokuwa akisema bado na makundi ya watu, mara mama yake na ndugu zake walikuwa wakisimama nje kwa kumtaka, waseme naye. Mtu akamwambia:

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help