1Mtukuzeni Bwana, nyote mlio watumishi wa Bwana, msimamao na usiku Nyumbani mwake Bwana!
2Iinueni mikono yenu hapo Patakatifu! Mtukuzeni Bwana!
3Bwana akubariki toka Sioni, yeye aliyeziumba mbingu na nchi!
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.