Mpiga mbiu 2 - Swahili Roehl Bible 1937

Furaha zote huku nchini ni za bure.

1Nilisema moyoni mwangu: Haya! Niyajaribu yenye furaha, nijionee mema! Nikaona, hayo nayo ni ya bure.

2Macheko nikayaambia: Ni kuwa na wazimu, nayo furaha nikaiambia: Hii inafaaje?

3Niliwaza moyoni mwangu kuufurahisha mwili wangu kwa mvinyo, lakini akili zikae zikiuongoza mwili; nikataka kuufuata huo ujinga, mpaka niyaone yawafaliayo wana wa Adamu kuyafanya chini ya mbingu siku zao zote za kuwapo.

12Kisha mimi nikageuka kuupambanua werevu wa kweli na upumbavu na ujinga; kwani mtu atakayemfuata mfalme atafanya nini? Ni yale yale, watu waliyoyafanya tangu kale.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help