1Sikilizeni! Werevu wa kweli unawaita,
utambuzi nao unapaza sauti yake.
32Sasa wanangu, nisikilizeni!
Wenye shangwe ndio wazishikao njia zangu.
33Yasikieni mafunzo, mpate kuerevuka kweli!
Msiyaache kabisa!
34Mwenye shangwe ni mtu anisikiaye,
alalaye macho siku kwa siku penye malango yangu.
35Kwani aliyenipata mimi amekwisha kupata uzima,
tena huona upendeleo kwake Bwana.Fano. 3:2.
36Lakini asiyenipata mimi huikorofisha roho yake mwenyewe,
kwani wote wanichukiao hupenda kufa.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.