1*Humu, nilimo vilindini, ninakulilia, Bwana.
5Ninamngojea Bwana, nayo roho yangu inamngojea, nalo Neno lake ndilo, ninalolitazamia.
6Roho yangu inamngoja Bwana, inashinda walinzi wa usiku, ndio walinzi wa usiku wanaongoja, kuche.
7Waisiraeli na wamngoje Bwana! Kwani kwake Bwana kuna upole, nao ukombozi uko kwake wa kukomboa wengi.
8Yeye atawakomboa Waisiraeli katika manza, walizozikora zote.*
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.