Mashangilio 130 - Swahili Roehl Bible 1937

Kuomba ondoleo la makosa.(Wimbo wa juto wa 6.)Wimbo wa kupapandia Patakatifu.

1*Humu, nilimo vilindini, ninakulilia, Bwana.

5Ninamngojea Bwana, nayo roho yangu inamngojea, nalo Neno lake ndilo, ninalolitazamia.

6Roho yangu inamngoja Bwana, inashinda walinzi wa usiku, ndio walinzi wa usiku wanaongoja, kuche.

7Waisiraeli na wamngoje Bwana! Kwani kwake Bwana kuna upole, nao ukombozi uko kwake wa kukomboa wengi.

8Yeye atawakomboa Waisiraeli katika manza, walizozikora zote.*

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help