1 Petero 1 - Swahili Roehl Bible 1937

Anwani.

1Mimi Petero niliye mtumwa wa Yesu Kristo nawaandikia ninyi wateule mkaao ugenini na kutawanyika kule Ponto na Galatia na Kapadokia na Asia na Bitinia.Fungu letu lililoko mbinguni.

3*Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa sababu alituonea huruma nyingi, akatuzaa mara ya pili, tupate kingojeo chenye uzima kwamba: Yesu kristo amefufuka katika wafu!Kazi ya wafumbuaji.

10Nao wafumbuaji walioyafumbua hayo mema, mliyogawiwa, waliutafuta sana wokovu huo na kuuchunguza; wakayafuatafuata, wapate kujua,Makombozi yetu.

13*Kwa hiyo jifungeni kiroho viuno vyenu, mlevuke! Mtimilike na kuyangojea yale mema, mnayoletewa, mgawiwe, Yesu Kristo atakapotokea waziwazi!

17*Tena ninyi humwita Baba yeye anayemhukumu kila mtu kwa kazi yake pasipo kupendelea; kwa hiyo mwendelee miaka yenu ya kukaa ugenini na kuogopa!

25Lakini neno lake Bwana hukaa kale na kale.

Basi, hilo ndilo neno la mbiu njema, mpigiwayo ninyi.*

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help