1Bwana ni mfalme! Nchi na zishangilie! Navyo visiwa vilivyo vingi na vifurahi!
7Sharti wapatwe na soni wote watumikiao vinyago, wajivuniao miungu iliyo ya bure; mwangukieni yeye, ninyi miungu yote!
10Ninyi mmpendao Bwana, yachukieni mabaya! Huzilinda roho zao wamchao yeye, huwaopoa mikononi mwao wasiomcha Mungu.Amo. 5:14-15.
11Mwanga unamzukia aliye mwongofu, nayo furaha inawazukia walionyoka mioyo.Sh. 112:4.
12Ninyi waongofu, mfurahieni Bwana, mwakumbushe watu utakatifu wake!
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.