1Kweli Mungu huwaendea Waisiraeli kwa kuwa mwema, ni wao wenye mioyo iliyong'aa
2Lakini mimi ilikuwa imesalia kidogo, miguu yangu ingalijikwaa; hakuna tena iliyosalia, nyayo zangu zingaliteleza.
27Hii ni kweli: Wakukaliao mbali hupotea, unawaangamiza wote wanaokuacha kwa kuzifuata tamaa.
28Lakini mimi naona kuwa vema, nikimkalia Mungu karibu. Bwana Mungu ninamtaka kuwa kimbilio langu, niwasimulie watu matendo yako yote.*
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.