1 Samweli 27 - Swahili Roehl Bible 1937

Dawidi anakwenda kukaa kwa Wafilisti.

1Dawidi akasema moyoni mwake kwamba: Siku moja nitaangamizwa kwa mkono wa Sauli; sitaona mema, nisipojiponya kabisa na kuikimbilia nchi ya Wafilisti, Sauli akate tamaa za kunitafuta tena katika mipaka yote ya Waisiraeli; ndivyo, nitakavyoponyoka mkononi mwake.

2Kwa hiyo Dawidi akaondoka, akapita mpaka yeye na watu 600 waliokuwa naye, wakaenda kwa Akisi, mwana wa Maoki, mfalme wa Gati.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help