3 Mose 14 - Swahili Roehl Bible 1937

Weuo wa mtu aliyekuwa mwenye ukoma.

1Bwana akamwambia Mose kwamba:

54Haya ndiyo maonyo ya kufundisha mambo ya kila namna ya ugonjwa huo mbaya wa ukoma na wa upele mbaya,

55hata wa ukoma wa nguo na wa nyumba na wa kivimbe na wa kipele na wa balanga, watu wapate kufundishwa siku za kuwa wenye uchafu nazo siku za kuwa wenye kutakata. Haya ndiyo maonyo ya kufundisha mambo ya ukoma.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help