1Katika mwanzo wa ufalme wa Yoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hili likamjia Yeremia likitoka kwake Bwana kwamba:
2Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Jitengenezee kamba na kongwa, uzitie shingoni pako!
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.