1Hii itakuwa mara ya tatu, nikija kwenu. Hapo kila jambo litamalizika kwa kusemewa na mashahidi wawili au watatu.Salamu.
11Mwisho, ndugu, furahini, mtengenezane, mwonyane, mioyo yenu iwe mmoja, mpate kutengemana! Ndipo, Mungu aliye mwenye upendo na matengemano atakapokuwa pamoja nanyi.Rom. 15:33; Fil. 4:4.
12Mwamkiane mkinoneana, kama watakatifu walivyozoea! Watakatifu wote wanawasalimu.1 Kor. 16:20.
13Upole wa Bwana wetu Yesu Kristo na upendo wa Mungu na bia ya Roho Mtakatifu iwakalie ninyi nyote! Amin.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.