Mashangilio 133 - Swahili Roehl Bible 1937

Mbaraka ya mapatano ya ndugu.Wimbo wa Dawidi wa kupapandia Patakatifu.

1Utazameni wema na utamu ulioko huko, ndugu wanakokaa pamoja na kupatana

2Ni kama yale mafuta mazuri ya kichwani pake Haroni, yakishuka na kuziiingia ndevu zake zilizokuwa ndefu, zikafika mpaka kwenye pindo la kanzu yake.2 Mose 29:7; 30:23-30.

3Au ni kama umande ulioko Hermoni, nako kwenye milima ya Sioni unakufika. Kwani Bwana alikoagizia mbaraka, ndiko huko, kuwa kwenye uzima kale na kale.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help