Yeremia 10 - Swahili Roehl Bible 1937

Vinyago ni vya bure.

1Lisikieni neno, Bwana alilowaambia ninyi wa mlango wa Isiraeli!

2Hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Msijifundishe kuzishika njia za wamizimu! Wala vielekezo vya mbinguni msivistuke, kwa kuwa wamizimu wanavistuka!

3Kwani miiko ya watu wa kimizimu ni kitu pasipo maana; kwani hukata mti wa mwituni, mikono ya fundi ikautengeneza kwa tezo.Wayuda wanaunyenyekea mkono wa Mungu.

17Yakusanye yaliyo yako katika nchi hii, wewe ukaaye bomani bado!

18Kwani hivi ndivyo, Bwana anavyosema: Mtaniona mara hii, nikiwatupa kwa nguvu wakaao katika nchi hii, nitawasonga, wapate kuona!

19A, nimevunjika! Pigo langu halitapona! Nasema mwenyewe: Haya ndiyo manyonge yangu, sharti niyavumilie.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help