Mashangilio 49 - Swahili Roehl Bible 1937

Mema yao wasiomcha Mungu hayakawi kuangamia.(Taz. Sh. 37 na 73.)Kwa mwimbishaji. Wimbo wa wana wa Kora.

1Makabila yote ya watu, yasikilizeni! Nyote mkaao ulimwenguni, yategeeni masikio,

2nyote mlio watuwatu tu, nanyi mlio mabwana! Ninyi mlio wenye mali nanyi maskini, yote pamoja!

3Kinywa changu kitasema yenye werevu wa kweli, nayo mawazo ya moyo wangu ni ya utambuzi.

4Nitaliinamisha sikio langu, lisikie mfano, nitalifumbua fumbo langu na kupiga zeze.

16Mtu akipata mali nyingi, usihangaike, ijapo, utukufu wa nyumba yake aukuze kuwa mwingi!

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help