Ezekieli 38 - Swahili Roehl Bible 1937

Ufunuo wa mambo, mfalme Gogi atakayoyafanya, apatilizwe na Mungu.

1Neno la Bwana likanijia la kwamba:

2Mwana wa mtu, uelekeze uso wako kumtazama Gogi katika nchi ya Magogi aliye mkuu wa Rosi na wa Meseki na wa Tubali, umfumbulie yatakayomjia,

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help