Mashangilio 28 - Swahili Roehl Bible 1937

Kuomba wokovu pamoja na kuutukuza.Wa Dawidi.

1Wewe Bwana ninakuita, u mwamba wangu, usininyamazie na kuwa kimya, nisije kufanana nao washukao kuzimuni!

6Apasaye kutukuzwa ni Bwana, kwani huzisikia sauti zao malalamiko yangu.

7Bwana ni nguvu yangu na ngao yangu; moyo wangu ulipomwegemea, nikapata kusaidiwa. Moyo wangu ukamshangilia, nikamwimbia nyimbo za kumshukuru.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help