1Makabila yote ya watu, pigeni makofi! Mwimbieni Mungu kwa shangwe na kumpigia vigelegele!
2Kwani Bwana alioko huko juu huogopesha, ni mfalme mkubwa azitawalaye nchi zote.
3Aliteka makabila ya watu, watutii, nazo koo nzima, zituangukie miguuni.
4Akatuchagulia fungu, liwe letu; ndilo, mpendwa wake Yakobo ajivunialo.
5Mungu alipaa na kushangiliwa, Bwana ndiye aliyepigiwa baragumu.
8Mungu anawatawala wamizimu nao, Mungu anakaa katika kiti chenye utakatifu wake.
9Wakuu wa makabila ya watu wamekusanyika, wawe ukoo wa Mungu wa Aburahamu, kwani ngao za hapa chini ni zake Mungu, ametukuka sanasana.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.