Mifano 28 - Swahili Roehl Bible 1937

Mbaraka yao wamchao Mungu nayo mapatilizo yao wasiomcha.

1Wasiomcha Mungu hukimbia pasipo kufukuzwa,

lakini waongofu hutulia pasipo kustushwa kama mwana wa simba.

2Kwa ajili ya mapotovu ya nchi wakuu wake huwa wengi,

lakini mtambuzi mwenye akili huitengemanisha siku nyingi.

3Mtu akosaye mali akikorofisha wanyonge,

ni mvua ifurikayo pasipo kuleta chakula.

4Wayaachao Maonyo huwasifu wasiomcha Mungu,

lakini wayaangaliao Maonyo huwakasirisha sana.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help