Mateo 4 - Swahili Roehl Bible 1937

Kujaribiwa.(1-11: Mar. 1:12-13; Luk. 4:1-13)

1Kisha Yesu akapelekwa na Roho nyikani, ajaribiwe na Msengenyaji.Yesu anakaa Kapernaumu.(12-17: Mar. 1, 14.15 Luk. 4, 14.15)

12Yesu aliposikia, ya kwamba Yohana amefungwa, akaondoka akaenda mpaka Galilea.

15Nchi ya Zebuluni na nchi ya Nafutali zilizoko upande

wa pwani na ng'ambo ya Yordani, Galilea ya wamizimu

iliko,

16huko watu waliokaa gizani wameona mwanga mkuu,

waliokaa penye kivuli kuacho mwanga umemulika juu yao.

17Tangu hapo ndipo, Yesu alipoanzia kupiga mbiu akisema: Juteni! Kwani ufalme wa mbingu umekaribia.Wanafunzi wa kwanza.(18-22: Mar. 1:16-20; Luk. 5:1-11.)

18Basi, Yesu alipokuwa akitembea kandokando ya bahari ya Galilea akaona watu wawili waliokuwa ndugu, ni Simoni aitwaye Petero na nduguye, Anderea. Aliwaona, wakitupa nyavu zao baharini, kwani walikuwa wavuvi.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help