1Mwenye shangwe ni kila amwogopaye Bwana, azishikaye njia zake!
2Kwani utajilisha yayo hayo, mikono yako iliyoyasumbukia, kwa kuyapata hayo mema yako nawe u mwenye shangwe.
3Mke wako wa nyumbani mwako atafanana na mzabibu uzaao vizuri: watoto wako wataizunguka meza yako kama makuti ya mchikichi.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.