Ufunuo 15 - Swahili Roehl Bible 1937

Wimbo wao walioshinda.

1Nikaona kielekezo kingine mbinguni kilicho kikubwa cha kustaajabu, ni malaika saba walioyashika mapigo saba ya mwisho, kwani katika hayo ndimo, makali ya Mungu yalimotimia.

4Yuko asiyekuogopa wewe, Bwana?

Au yuko asiyelitukuza Jina lako?

Kwani wewe peke yako umetakata,

wamizimu wote watakuja na kukuangukia mbele yako,

kwa kuwa vimetokea waziwazi, unavyowapa watu wongofu.Vyano saba vya makali.

5Kisha nikaona Jumba la Mungu, lile Hema la Ushahidi lililoko mbinguni, lilivyofunguliwa.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help