Ezekieli 17 - Swahili Roehl Bible 1937

Ufumbuo wa mabaya yatakayompata mfalme.

1Neno la Bwana likanijia la kwamba:

2Mwana wa mtu, utegee mlango wa Isiraeli kitendawili na kuuambia fumbo!

3Sema: Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Kulikuwako tai mkubwa mwenye mabawa makubwa na manyoya marefu mabawani ya kumwendesha, nayo mengi mno yalikuwa yenye rangi; huyo akaja Libanoni, akajichukulia kilele cha mwangati.

4Chipuko lake la juu penyewe akalivunja, akalipeleka katika nchi yenye biashara, akalitia mjini, wachuuzi wakaamo.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help