1Siku zile alitokea Yohana Mbatizaji, akapiga mbiu nyikani kwa Yudea akisema:Kubatizwa kwa Yesu.(13-17: Mar. 1:9-11; Luk. 3:21-22; Yoh. 1:31-34.)
13Ndipo, Yesu alipotoka Galilea, akafika Yordani, akamjia Yohana akitaka kubatizwa naye.
14Lakini Yohana akamzuia akisema: Mimi imenipasa kubatizwa na wewe, nawe wewe unanijia mimi?
15Yesu akajibu akimwambia: Acha tu! Kwani ndivyo, inavyotupasa kuyatimiza maongozi yote. Ndipo, alipomwachia.
16Yesu alipokwisha batizwa, papo hapo, alipotoka majini, mbingu zikafunuka, akaona, Roho ya Mungu anavyoshuka kama njiwa na kumjia yeye.
17Mara sauti ikatoka mbinguni ikasema: Huyu ndiye mwanangu mpendwa, ambaye nimependezwa naye.*
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.