Iyobu 2 - Swahili Roehl Bible 1937

Mateso makali ya Iyobu.

1Ikawa siku nyingine, wana wa Mungu walipokuja kumtokea Bwana, Satani naye akaja katikati yao kumtokea Bwana.

11Rafiki zake Iyobu watatu walipoyasikia hayo mabaya yote yaliyompata, ndipo, walipoondoka kila mtu mahali pake, Elifazi wa Temani na Bildadi wa Sua na Sofari wa Nama, wakapatana kwenda pamoja kumpongeza na kumtuliza moyo.1 Mose 25:2; 36:15; Yos. 15:41; Yer. 49:7.

12Wakayainua macho yao walipokuwa wako mbali bado, lakini hawakumtambua, wakapaza sauti zao, wakalia, wakazirarua nguo zao, kila mtu zake, wakajimwagia mavumbi kichwani na kujielekeza mbinguni.

13Wakakaa pamoja naye chini siku saba mchana kutwa na usiku kucha, hakuna aliyeweza kumwambia neno, kwani waliyaona maumivu yake kuwa makubwa mno.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help