Ufunuo 4 - Swahili Roehl Bible 1937

Mungu mwenye nguvu zote huangukiwa.

1Kisha nalitazama, nikaona mlango mbinguni uliokuwa wazi. Ndipo, sauti ile ya kwanza, niliyoisikia kama ya baragumu, iliyosema nami, iliposema: Panda huku, nikuonyeshe yatakayofanyika, haya yakiisha! Papo hapo nikawapo kiroho.

11Wewe Bwana na Mungu wetu, umepaswa na kupewa utukufu

na heshima na uwezo, kwani wewe uliviumba vyote;

kwa hayo, uyatakayo, vikapata kuwapo vilipokwisha

kuumbwa.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help