Mashangilio 41 - Swahili Roehl Bible 1937

Kilio cha mgonjwa.Kwa mwimbishaji. Wimbo wa Dawidi.

1Mwenye shangwe ni mtu atunzaye mnyonge. Naye atakapopatwa na kibaya, Bwana atamwokoa.

10Lakini wewe Bwana, nihurumie na kuniinua, nipate kuwalipiza!

11Hapo ndipo, nitakapotambua, ya kuwa umependezwa nami, adui yangu asipoweza tena kunipigia yowe.

12Kwa hivyo, mimi ninavyokucha kwa moyo wote, unanishikiza, ukanipa kusimama usoni pako kale na kale.

13Bwana Mungu wa Isiraeli, na atukuzwe kama huko kale, vivyo nazo siku zitakazokuwa kale na kale! Amin. Amin.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help