1Ni kitu kizuri kumshukuru Bwana na kuliimbia Jina lako, ulioko huko juu,
9Kwani, Bwana, ukiwatazama wao wachukivu wako, ukiwatazama vema wao wachukivu wako, mara hupotea, wote wafanyao maovu hutawanyika.
10Lakini baragumu langu umelielekeza juu kama pembe za nyati, nikafurikiwa na mafuta ya mwaka huu.
12Mwongofu atachipuka kama mtende, atakua kama mwangati ulioko Libanoni.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.