1Neno la Bwana likanijia la kwamba:
2Mwana wa mtu, wafumbulie wachungaji wa Isiraeli yatakayowapata! Wafumbulie wachungaji ukiwaambia: Hivi ndivyo, Bwana Mungu anavyosema: Yatawapata, ninyi wachungaji wa Isiraeli mnaojichunga wenyewe! Tena sio kondoo wanaowapasa wachungaji, wawachunge?
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.