1Ninayainua macho yangu na kuyaelekeza milimani, kwani ndiko, utakakotoka msaada wangu.
3Hatautoa mguu wako, uje kujikwaa, maana halali usingizi akulindaye.
4Tazameni! Halali usingizi, wala hasinzii yeye aliye mlinzi wake Isiraeli.
5Bwana ndiye akulindaye, Bwana ni kivuli chako kuumeni kwako,
6mchana jua lisikuumize, wala mwezi usiku.
7Bwana atakukingia mabaya yote, atailinda roho yako.4 Mose 6:24.
8Bwana na akulinde kutoka kwako na kuingia kwako kuanzia sasa hata kale na kale!
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.