Mashangilio 22 - Swahili Roehl Bible 1937

Maumivu na utukufu wa mwongofu.(Mateso yake Kristo.)Kwa mwimbishaji; ni wa kuimba kama wimbo: Kulungu mke achomoza. Wimbo wa Dawidi.

1*Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Wokovu wangu uko mbali, kwa hiyo napiga kite.

6Lakini mimi ni kidudu, si mtu bado, watu wakanifyoza wote na kunibeza.

16Kwani walikuwako mbwa, wakanizunguka, kikosi cha wabaya kikanijia pande zote, kisha wakanitoboa maganja na nyayo.

19Nawe, Bwana, usiwe mbali! Kwa hivyo, unavyonishupaza, piga mbio, unisaidie!*

20Iopoe roho yangu kwenye panga! Hiyo iliyo mali yangu peke yake iopoe kwenye mbwa!

25Wewe nidwe, nitakayekukuza, makundi mengi yakusanyikapo; nayo niliyomwagia nitayalipa mbele yao wamwogopao.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help