Wakolose 3 - Swahili Roehl Bible 1937

Yatafuteni yaliyoko juu!

1*Basi, kama mmefufuka pamoja naye Kristo, yatafuteni yaliyoko juu! Ndiko, Kristo akaako kuumeni kwa Mungu.Kumvaa mtu mpya.

5Basi, viueni viungo viyatimizavyo yaliyopo nchini: ugoni na uchafu na tamaa na kijicho kiovu na choyo kilicho sawa na kutambikia vinyago!

12*Ninyi watakatifu na wapendwa, kwa hivyo, mlivyochaguliwa na Mungu, vaeni mioyo yenye huruma za kweli na utu na unyenyekevu na upole na uvumilivu!Kuwaonya wake na waume, watoto na watumwa.(18—4:1: Ef. 5:22-6:9)

18Ninyi wake, watiini waume wenu, kama inavyowapasa walio wa Bwana!

19Ninyi waume, wapendeni wake zenu, msiwaendee kwa ukali!

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help