2 Wakorinto 2 - Swahili Roehl Bible 1937
Mkosaji aliyejuta aachiliwe.
1Lakini moyoni naliwaza hivi: Nisije tena kwenu mwenye sikitiko!Manukato yenye kufa nayo yenye uzima.
12Hapo, nilipofika Tiroa kuutangaza Utume mwema wa Kristo, nikafunguliwa mlango kwa nguvu ya Bwana;