1 Wakorinto 16 - Swahili Roehl Bible 1937

Kuchanga vipaji.

1Lakini kwa ajili ya mchango, watakatifu wanaochangiliwa, fanyeni nanyi, kama nilivyowaagiza wateule wa Galatia!Timoteo na Apolo.

10Lakini Timoteo atakapofika, mmtazame, akae kwenu pasipo woga! Kwani naye anaifanya kazi ya Bwana kama mimi.Stefana.

13Kesheni! Kukalieni kumtegemea Bwana, mwe waume wenye nguvu!Salamu.

19Wateule wote walioko Asia wanawasalimu. Akila na Puriskila pamoja nao wote wanaokusanyika nyumbani mwao wanawasalimu sana, kwa kuwa m wa Bwana.Tume. 18:2,18,26; Rom. 16:3-5.

20Nao ndugu wote wanawasalimu. Mwamkiane mkinoneana, kama watakatifu walivyozoea!Rom. 16:16; 2 Kor. 13:12; 1 Petr. 5:14.

21Hii salamu yangu mimi Paulo naiandika kwa mkono wangu.Kol. 4:18; 2 Tes. 3:17.

22Mtu asiyempenda Bwana na awe ameapizwa! Bwana anakuja.Gal. 1:8-9.

23Upole wa Bwana Yesu uwakalie ninyi!Ufu. 22:20.

24Upendo wangu wa kuwapenda ninyi, kwa kuwa m wake Yesu Kristo, uwakalie ninyi nyote! Amin.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help