1Akawaambia mfano wa kwamba: Imewapasa kuomba siku zote pasipo kuchoka,Fariseo na mtoza kodi.
9*Kulikuwa na watu waliojiwazia wenyewe kuwa waongofu, wakawabeza wengine, akawaambia mfano huu:
10Watu wawili walipanda kwenda Patakatifu kuomba. Wa kwanza alikuwa Fariseo, wa pili mtoza kodi.
11Fariseo akasimama, akaomba na kusema hivi moyoni mwake: Mungu, nakushukuru, kwa sababu sifanani na watu wengine walio wanyang'anyi, wapotovu, wagoni, wala sifanani na huyu mtoza kodi.Kuwabariki watoto.(15-17: Mat. 19:13-15; Mar. 10:13-16.)
15Wakamletea hata vitoto, awaguse. Lakini wanafunzi walipowaona waliwatisha.
16Ndipo, Yesu alipowaita, waje kwake, akisema: Waacheni vitoto, waje kwangu, msiwazuie! Kwani walio hivyo ufalme wa Mungu ni wao.
17Kweli nawaambiani: Mtu asiyeupokea ufalme wa Mungu kama kitoto hatauingia kamwe.Mwenye mali nyingi.(18-30: Mat. 19:16-29; Mar. 10:17-30.)
18Kulikuwa na mkubwa, akamwuliza akisema: Mfunzi mwema, nifanye nini, niurithi uzima wa kale na kale?
19Yesu akamwambia: Unaniitaje mwema? Hakuna aliye mwema, asipokuwa Mungu peke yake tu.
20Maagizo unayajua, ya kwamba: Usizini! Usiue! Usiibe! Usisingizie! Mheshimu baba yako na mama yako!Mwana wa mtu atateswa.(31-34: Mat. 20:17-19; Mar. 10:32-34.)
31*Akawatwaa wale kumi na wawili, akawaambia: Tazameni, tunapanda kwenda Yerusalemu. Huko Mwana wa mtu aliyoandikiwa na wafumbuaji yatatimizwa yote:Kipofu wa Yeriko.(35-43: Mat. 20:29-34; Mar. 10:46-52.)
35Ikawa, alipokaribia Yeriko, palikuwa na kipofu aliyekaa njiani kando akiomba sadaka.
36Aliposikia, kundi la watu linapita, akauliza: Kuna nini?
37Wakamsimulia, ya kuwa Yesu wa Nasareti anapita.
38Ndipo, alipopaza sauti akisema: Yesu, mwana wa Dawidi, nihurumie!
39Wao waliotangulia walipomkaripia, anyamaze, yeye akakaza sana kupaza sauti: Mwana wa Dawidi, nihurumie!
40Ndipo, Yesu aliposimama, akaagiza, aletwe kwake. Alipomfikia, akamwuliza:
41Wataka, nikufanyie nini? Naye akasema: Bwana, nataka, nipate kuona.
42Yesu akamwambia: Ona! Kunitegemea kwako kumekuponya.Luk. 17:19.
43Papo hapo akapata kuona, akamfuata akimtukuza Mungu. Nao watu wote walioviona wakamsifu Mungu.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.