1Wanangu, sikieni, baba akiwakanya!
Yategeni masikio, myajue yenye utambuzi!
2Kwani ninawapa ninyi mafundisho mema:
maonyo yangu msiyaache!
3Kwani nami nilipokuwa mwana wa baba yangu,
mtoto mnyonge aliyependwa sana na mama kwa kuwa wa pekee,
4baba alinifundisha, akaniambia:
Moyo wako sharti uyashike sana maneno yangu,
uyaangalie maagizo yangu! Ndipo, utakapopata uzima.
10Sikia, mwanangu, uyapokee maneno yangu!
Ndipo, miaka yako ya kukaa uzimani itakapokuwa mingi.
20Mwanangu, yasikilize maneno yangu
Yategee sikio, ninayokuambia!
21Usiyaache, yatoweke machoni pako!
Yaangalie moyoni mwako ndani!
22Kwani hayo ndio uzima wao wayapatao,
tena ni dawa ya miili yao wote.
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.