1Haleluya! Mshukuruni Bwana, ya kuwa ni mwema! Ya kuwa upole wake ni wa kale na kale!
13Lakini upesi sana wakayasahau matendo yake, aliyoyataka kuwaeleza hawakuyangojea.
14Walipoingiwa na tamaa kule nyikani wakazifuata, wakamjaribu Mungu huko jangwani.
48Na utukuzwe, Bwana Mungu wa Isiraeli, tangu kale hata kale!
Nayo makabila yote ya watu sharti yaitikie: Amin! Haleluya!
Who We AreWhat We EelieveWhat We Do
2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.