Warumi 4 - Bible in Kiswahili, Revised Union Version 2013

Mfano wa Abrahamu

1Basi, tusemeje juu ya Abrahamu, baba yetu kwa jinsi ya mwili?

2Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia; lakini si mbele za Mungu.

3

20Ebr 11:7,11,34 Lakini akiiona ahadi ya Mungu hakusita kwa kutoamini, bali alitiwa nguvu kwa imani, akimtukuza Mungu;

21huku akijua hakika ya kuwa Mungu aweza kufanya yale aliyoahidi.

22Mwa 15:6 Kwa hiyo ilihesabiwa kwake kuwa ni haki.

23Rum 15:4 Lakini haikuandikwa kwa ajili yake tu kwamba ilihesabiwa kwake;

241 Pet 1:21 bali na kwa ajili yetu sisi mtakaohesabiwa vivyo hivyo, sisi tunaomwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu katika wafu;

25Isa 53:4-5; 1 Kor 15:17 ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuliwa ili mpate kuhesabiwa haki.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help