Mhubiri 1 - Bible in Kiswahili, Revised Union Version 2013

Ubatili wa maisha

1Maneno ya Mhubiri mwana wa Daudi, mfalme katika Yerusalemu

2

15 Mhu 7:13 Yaliyopotoka hayawezi kunyooshwa,

Wala yasiyokuwapo hayahesabiki.

16 1 Fal 4:29-31; 3:12; Mhu 2:9 Nikatafakari nikisema, Nimejipatia hekima nyingi kupita wote walionitangulia katika Yerusalemu; naam, moyo wangu umeona kwa wingi hekima na maarifa.

17Mhu 2:3; 1 The 5:21 Nikatia moyo wangu ili kuijua hekima, na kujua wazimu na upumbavu; nikatambua ya kwamba hayo yote nayo ni kufukuza upepo.

18Ayu 28:28; Mhu 7:16; 1 Kor 1:20 Yaani,

Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni;

Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help