Kutoka 32 - Bible in Kiswahili, Revised Union Version 2013

Sanamu ya ndama ya dhahabu

1

10 kila mtu juu ya mwanawe na juu ya ndugu yake; ili awape baraka leo.

301 Sam 12:20; 2 Sam 16:12; Amo 5:15 Hata asubuhi yake Musa akawaambia watu, Mmetenda dhambi kuu; na sasa nitakwenda juu kwa BWANA, labda nitafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.

31Musa akarejea kwa BWANA akasema, Aa! Watu hawa wametenda dhambi kuu wamejifanyia miungu ya dhahabu.

32Zab 69:29; Ufu 3:5; 22:19; Kum 9:14; Rum 9:3; Zab 56:8; 139:16; Flp 4:3 Lakini sasa, ikiwa utawasamehe dhambi yao – na kama sivyo, unifute, nakusihi, katika kitabu chako ulichoandika.

33Law 23:30; Eze 18:4 BWANA akamwambia Musa, Mtu yeyote aliyenitenda dhambi ndiye nitakayemfuta katika kitabu changu.

34Hes 20:16; Amo 3:14; Rum 2:5,6 Basi sasa uende ukawaongoze watu hawa mpaka mahali pale ambapo nimekwambia habari zake; tazama, malaika wangu atakutangulia; pamoja na hayo siku nitakayowajia nitawapatiliza kwa ajili ya dhambi yao.

352 Sam 12:9 BWANA akawapiga hao watu, kwa tauni kwa kuifanya ile ndama, ambayo Haruni aliifanya.

Blog
About Us
Message
Site Map

Who We AreWhat We EelieveWhat We Do

Terms of UsePrivacy Notice

2025 by iamachristian.org,Inc All rights reserved.

Home
Gospel
Question
Blog
Help